Kocha wa Argentina atema kibarua


Gerardo Martino

Kocha wa Timu ya Taifa ya Argentina ambayo ilipigwa na Chile katika Fainali za Copa America amebwaga manyanga.

Gerardo Martino mwenye miaka 53 katika taarifa yake ya kuondoka amesema moja ya sababu ni kutokana na kuwapo kwa matatizo katika kuchagua kikosi cha kushiriki Olimpiki.

Gerardo amekuwa mwalimu wa Argentina tangu mwaka 2014 baada ya kuifundisha Barcelona huko nyuma.
 HABARI KUU LEO BOFYA HAPA 















Like page yetu ya facebook upate habari kwa urahisi na haraka zaidi BOFYA HAPA


















Newer Posts Older Posts
© Copyright UCHAMBUZI LEO | Modified By Smart WEB
Back To Top Back To Top