Usajili: Leicester yamsajili Nampalys Mendy

  Nampalys Mendy

Katika jitihada za kukihami kikosi chao kabla ya kutetea taji lao, Mabingwa wa ligi kuu ya Uingereza Leicester City wamemsajili kiungo cha kati wa Ufaransa Nampalys Mendy.

Mchezaji huyo zamani akiichezea klabu ya Nice ametia sahihi mkataba wa miaka minne kufanya shughuli nchini Uingereza.

Hata hivyo, Kiungo huyo mwenye umri wa miaka 24 hajawahi kuitwa katika kikosi cha taifa cha Ufaransa.

Hadi tulipochapisha habari hizi haikuwa imebainika mkataba huo ni wa kitita cha pesa ngapi.

Mendy alijiunga na Nice mwaka wa 2013 akitokea klabu ya Monaco alikoichezea katika mechi 110 za ligi ya daraja ya juu Ligue 1 katika misimu 3.

Mendy ni mchezaji wa tatu kujiunga na Leicester baada ya kipa Ron-Robert Zielerand na mlinzi Luis Hernandez.
 HABARI KUU LEO BOFYA HAPA

CHADEMA Waapa Kutibua Mkutano wa CCM ,Vijana 2000 Kupelekwa Dodoma Kwa Ajili ya Kazi Hiyo Bofya hapa

 Video:Chadema kuzuia Mkutano wa CCM wa kuchagua mwenyekiti wa chama Bofya hapa
Habari zilizopo katika Magazeti ya leo Jumapili July 03, 2016 Bofya hapa

Vibonzo: Katuni tano bora zaidi leo Jumapili July 03, 2016 Bofya hapa

TFF wajichanganya kwa Muro bofya hapa

Tamko la RC Makonda kuhusu mashoga waliopo jijini Dar es Salaam 


 Hatimaye TAKUKURU na TRA Wamtaja Mtu Aliyekuwa Akiibia Serikali Milioni 7 Kwa Kila Dakika Bofya hapa

 Ufafanuzi wa TRA kuhusu ongezeko la thamani kwenye huduma za kifedha Bofya hapa









Like page yetu ya facebook upate habari kwa urahisi na haraka zaidi BOFYA HAPA
Newer Posts Older Posts
© Copyright UCHAMBUZI LEO | Modified By Smart WEB
Back To Top Back To Top