BREAKING NEWS- UEFA YAPATA RAIS MPYA

Aleksander Ceferin amechaguliwa kuwa rais mpya wa Shirikisho la Soka Barani Ulaya ( Uefa).

Ceferin, ambaye ni mkuu wa Chama cha Soka nchini Slovenia, amepata kursa 42 kwenye mkutano maalum ulioanyika jijini Athens nchini Ugiriki, idadi ya kura 29 zaidi ya mshindani wake Mdachi Michael van Praag.

Msloveni huyo ( 48), anachukua mikoba iliyoachwa wazi na rais wa zamani wa shirikisho hilo Mfaransa Michel Platini, ambaye alijiuzulu baada ya kufungiwa kujihusisha na masuala ya soka mwaka jana.

Ceferin ataziba nafasi hiyo ya Platini mpaka mwaka 2019 uchaguzi mwingine utakapotishwa.

Post a Comment

Toa maoni tu (kejeli na matusi marufuku)

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright UCHAMBUZI LEO | Modified By Smart WEB
Back To Top Back To Top