Watu 26 wameripotiwa kufariki China leo

Basi la watalii lililowaka moto likiwa barabarani wakielekea uwanja wa ndege wa Taoyuan, Taiwan, China. 

Wakiendelea kuzima moto huo.
Watu 26 leo wameripotiwa kufariki kwenye ajali ya basi la watalii lililowaka moto likiwa barabarani wakielekea uwanja wa ndege wa Taoyuan, Taiwan, China.

Post a Comment

Toa maoni tu (kejeli na matusi marufuku)

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright UCHAMBUZI LEO | Modified By Smart WEB
Back To Top Back To Top