Virusi vinapovamia mwili saa za asubuhi huwa hatari sana
Virusi vinatajwa kuwa hatari zaidi wakati vinavamia mwili wa mwanadamu saa za asubuhi, kwa mujibu wa utafiti wa chuo cha Cambridge.
Matokeo ya utafiti huo yaliyochapishwa, yalionyesha kuwa virusi huwa na mafanikio mara kumi zaidi ikiwa vitaingia mwililini saa za asubuhi.
Watafiti hao wanasema kuwa matokeo hayo yatasababisha kupatikana kwa njia mpya za kuzuia majanga.
Virusi, kinyume na bakteria hutegemea zaidi kuvamia chembechembe za mwili ili viweze kuwa na uwezo ya kukua.
Virusi vinatajwa kuwa hatari zaidi wakati vinavamia mwili wa mwanadamu saa za asubuhi, kwa mujibu wa utafiti wa chuo cha Cambridge.
Matokeo ya utafiti huo yaliyochapishwa, yalionyesha kuwa virusi huwa na mafanikio mara kumi zaidi ikiwa vitaingia mwililini saa za asubuhi.
Watafiti hao wanasema kuwa matokeo hayo yatasababisha kupatikana kwa njia mpya za kuzuia majanga.
Virusi, kinyume na bakteria hutegemea zaidi kuvamia chembechembe za mwili ili viweze kuwa na uwezo ya kukua.
Habari za Magazetiya Leo Jumanne August 16, 2016 bofya hapa
MANJI AJIUZULU YANGA bofya hapa
MANJI AJIUZULU YANGA bofya hapa
Post a Comment
Toa maoni tu (kejeli na matusi marufuku)