Kikosi cha Real Madrid kimeanza vizuri msimu mpya wa La Liga baada ya kupata ushindi wa ugenini wa magoli 3-0 dhidi ya Real Sociedad na kuchukua pointi tatu za kwanza.
Gareth Bale ambaye alifunga magoli mawili katika mchezo huo, alianza kufunga bao la kwanza dakika ya 2 kisha Marco Asensio akafunga bao la tatu na hatimaye Bale akakamilisha ushindi kwa bao la tatu dakika ya 90 na kuipa Madrid pointi tatu muhimu.
Wakuu Wa Shule Za Msingi 68 Kuvuliwa Vyeo Vyao Jijini Dar Es Salaam bofya hapa
Ajira zaidi bofya hapa
Azam Mabingwa Ngao ya Jamii bofya hapa
Post a Comment
Toa maoni tu (kejeli na matusi marufuku)