Mwenyekiti wa chama cha Demokrasia na Maendeleo ametangaza kusitishwa kwa maandamano ya Oparesheni UKUTA yaliyokuwa yamepangwa kufanyika leo nchi nzima
.
.
Mbowe ametoa kauli hiyo ya kuahirisha maandamano mchana huu wakati akiongea na vyombo mbalimbali vya habari.
Amesema sababu kubwa za kuahirisha maandamano hayo ni busara zaviongozi wa dini ambao wameiomba Chadema iwape muda wa kutafuta Suluhu
Mbowe amesema maandamano hayo yameahirishwa hadi Oktoba Mosi
Msikilize hapo chini akiongea
Nafasi zaidi za kazi bofya hapa
Ufafanuzi wa CHADEMA kuhusu taarifa ya kuahirishwa Operesheni UKUTA. bofya hapa
Profesa Lupumba,Magdalena Sakaya na Abdul Kambaya Wavuliwa Uanachama CUF Bofya hgapa
Post a Comment
Toa maoni tu (kejeli na matusi marufuku)