Video:SERENGETI BOYS YASHINDA 3-0 DHIDI YA SHELISHELI.

 

Baadhi ya wachezaji wa serengeti boys ambao leo wamechuana vikali dhidi ya shelisheli na kufanikiwa kufunga 3-0 . katikati ni Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Airtel Tanzania, Bi. Beatrice Singano .Ikumbukwe kuwa zaidi ya nusu ya wachezaji wa serengeti boys wametokana na Airtel Rising Stars. Angalia video hii chini 


Newer Posts Older Posts
© Copyright UCHAMBUZI LEO | Modified By Smart WEB
Back To Top Back To Top