Iran yawakamata wanaokiuka kanuni za dini

Wale hujapisha picha kwenye mitandao ya kijamii bila kuvaa hijab hukamatwa

Utawala nchini Iran umewakamata watu wanane wanaofanya kazi na <Endelea bofya kichwa cha habari hii juu>
mashirika ya mitindo ambayo inatajwa kukiuka kanuni za dini ya kiislamu.

Kukamatwa huku ni sehemu ya oparesheni ya miaka miwilii ambapo wanamitindo wanalengwa hususan wale ambao huchapisha picha zao kwenye mtandao wa Instagram na mitandao mingine ya kijamii zikiwaonyesha wakiwa bila hijab.

Katika mahojiano ya runinga mkuu wa mahakama ya uhalifu wa mitandao mjini Tehran, amelamu mashirika ya <Endelea bofya kichwa cha habari hii juu>
mitindo kwa kuendeleza tamaduni zinazoenda kinyume na kanuni za kiislamu.

Amesema kuwa ni wajibu wa mahakama kuwachukulia hatua wale wanaokiuka maadili hayo kwa utaratibu unaofaa.

Post a Comment

Toa maoni tu (kejeli na matusi marufuku)

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright UCHAMBUZI LEO | Modified By Smart WEB
Back To Top Back To Top