Top 10 ya ma-star wa soka wanaomiliki mijengo ghali zaidi duniani



Kwa hakika mchezo wa soka unawalipa sana wanachezaji na hiyo imewafanya wengine kumiliki mijengo ya maana pengine sawa na matajiri wengine wakubwa duniani.

Hapa tunaangalia mijengo 10 ya wachezaji ya gharama zaidi na hapo utagundua baadhi yao tayari wameshastaafu lakini wamejumuishwa kukupa wewe taswira halisi namna ambavyo mchezo huu ulivyowawezesha wachezaji hao kupata makazi bora ya kuishi.

10. Kaka- $3 Million


9. Andres Iniesta: $4.6 million


8. Lionel Messi- $5 million


7. Mario Balotelli: $5 million.


6. Cristiano Ronaldo: $6 million.


5. Frank Lampard: $7 million.


4. John Terry: $7.5 million.


3. Wayne Rooney: $17.83 million.


2. David Beckham: $20 million.


1. Didier Drogba- $21million

Post a Comment

Toa maoni tu (kejeli na matusi marufuku)

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright UCHAMBUZI LEO | Modified By Smart WEB
Back To Top Back To Top