Video: Hotuba ya Rais Magufuli na Rais wa Uturuki jana Dar es salaam


Serikali za Tanzania na Uturuki zimesaini mikataba 9 ya ushirikiano wa kimaendeleo katika nyanja za Afya, Usafiri wa Anga na Viwanda. Rais Endorgan
amualika Rais Magufuli kufungua ubalozi nchini Uturuki.

Amemuomba kusaidia kutokomeza watu waliotaka kumpindua madarakani.

Zaidi, tazama hii video ya hotuba zao

Post a Comment

Toa maoni tu (kejeli na matusi marufuku)

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright UCHAMBUZI LEO | Modified By Smart WEB
Back To Top Back To Top