Serikali za Tanzania na Uturuki zimesaini mikataba 9 ya ushirikiano wa kimaendeleo katika nyanja za Afya, Usafiri wa Anga na Viwanda. Rais Endorgan amualika Rais Magufuli kufungua ubalozi nchini Uturuki.
Amemuomba kusaidia kutokomeza watu waliotaka kumpindua madarakani.
Zaidi, tazama hii video ya hotuba zao


Post a Comment
Toa maoni tu (kejeli na matusi marufuku)