Wananchi wajichanganya mpango wa Serikali kuwapima afya bure


Picha ya Maktaba
Dar es Salaam. Baadhi ya wananchi wameshindwa kuelewa mpango wa Serikali kupima wananchi afya jijini Dar es Salaam na kuleta wagonjwa kutoka hospitalini.


Mpango wa Serikali ni kupima wananchi afya kwa wale ambao hawajawahi kufanya hivyo.


Matangazo yamekuwa yakitolewa eneo la viwanja vya Mnazi Mmoja kuwa walioleta wagonjwa wawarudishe huku wengine wakikata tamaa na kuamua kuondoka.


Mmoja wa waliokuja kucheki afya, Wallace Gumbo mkazi wa Dunda anasema alijihimu kufika saa 11 alfajiri lakini amekata tamaa baada ya kukuta umati mkubwa
Video Mpya : Diamond Platnumz ft. Rayvanny - Salome bofya hapa







Post a Comment

Toa maoni tu (kejeli na matusi marufuku)

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright UCHAMBUZI LEO | Modified By Smart WEB
Back To Top Back To Top