Dar es Salaam. Baadhi ya wananchi wameshindwa kuelewa mpango wa Serikali kupima wananchi afya jijini Dar es Salaam na kuleta wagonjwa kutoka hospitalini.
Mpango wa Serikali ni kupima wananchi afya kwa wale ambao hawajawahi kufanya hivyo.
Matangazo yamekuwa yakitolewa eneo la viwanja vya Mnazi Mmoja kuwa walioleta wagonjwa wawarudishe huku wengine wakikata tamaa na kuamua kuondoka.
Mmoja wa waliokuja kucheki afya, Wallace Gumbo mkazi wa Dunda anasema alijihimu kufika saa 11 alfajiri lakini amekata tamaa baada ya kukuta umati mkubwa
Video Mpya : Diamond Platnumz ft. Rayvanny - Salome bofya hapa
Video Mpya : Brown Mauzo Ft. Alikiba - 'Nitulize' bofya hapa
Video : Tox Star Ft. Barnaba - 'Chillax' bofya hapa
Like page yetu ya facebook upate habari kwa urahisi na haraka zaidi BOFYA HAPA
Video : Tox Star Ft. Barnaba - 'Chillax' bofya hapa
Like page yetu ya facebook upate habari kwa urahisi na haraka zaidi BOFYA HAPA
Post a Comment
Toa maoni tu (kejeli na matusi marufuku)