WACHEZAJI 10 WA MAN UNITED WATAKAOCHEZA EURO WAKIWA KWENYE MATAIFA TOFAUTI

Wachezaji wa 10 wote wa Manchester United walichaguliwa na mameneja mataifa mbalimbali ya Ulaya kuwakilisha nchi zao katika michuano ya Ulaya inayoanza leo nchini Ufaransa.

Miongoni mwa mataifa 24 yaliyofuzu kushiriki Euro 2016, saba kati yao yatakuwa angalau na mchezaji kutoka Manchester United.

Isipokuwa Uingereza ambao watakuwa na wachezaji watatu na Ufaransa ambao watakuwa na wachezaji wawili, nchi nyingine tano zinawakilishwa na mchezaji mmoja mmoja kutoka Manchester United.

Kwa mujibu wa mtandao wa Sokka.com hii ndiyo ‘top ten’ ya wachezaji wa United watakaokuwa wakiyawakilisha mataifa tofauti nchini Ufaransa.

Kundi A – Ufaransa

Anthony Martial – Kiungo mshambuliaji



Morgan Schneiderlin – Kiungo mlinzi




Kundi B –England

Wayne Rooney – Kiungo, mshambuliaji




Chris Smalling – Mlinzi


Marcus Rashford – Kiungo mshambuliaji


Kundi C – Ireland ya KasikaziniPaddy McNair – Mlinzi






Kundi C – UjerumaniBastian Schweinsteiger – Kiungo






Kundi D – HispaniaDavid De Gea – Kipa






Kundi E – UbelgijiMarouane Fellaini – Kiungo






Kundi E – Italia 
Matteo Darmian – Beki


Newer Posts Older Posts
© Copyright UCHAMBUZI LEO | Modified By Smart WEB
Back To Top Back To Top