Uchaguzi Mkuu wa Yanga kura zinaendelea kuhesabiwa


 Yusuf Manji 

Uchanguz wa Yanga umefanyika leo ambapo mamia ya wanachama wamejitokeza kwa wingi kuchangua viongozi wao, taarifa tulizozipata ni kuwa Manji anayetetea kiti chake anaongoza kwa kura nyingi, uchanguzi huo unafanyika kwenye Ukumbi wa Diamond Jubilee, jijini Dar es Salaam baada ya kupigwa danadana kitambo kirefu. Endelea kufuatilia uchambuzileo.blogspot.com kwa habari kamili kutoka ukumbuni
Newer Posts Older Posts
© Copyright UCHAMBUZI LEO | Modified By Smart WEB
Back To Top Back To Top