Baada ya akaunti ya facebook ya Godlisten Malisa kufungwa, Julius Mtatiro aandika hivi

Akaunti ya mwanaharakati wa mtandaoni Godlisten Malisa imefungwa, hivi ndivyo alivyoandika Julius Mtatiro kwenye ukurasa wake wa facebook



POKEENI SALAMU ZA UPENDO KUTOKA KWA ‪#‎GODLISTEN_MALISA‬.
"Akaunti yangu ya FB imefungiwa kwa madai kuwa napost mambo yanayokiuka sera za Facebook, wajulishe marafiki wasiwe na wasiwasi, nipo OKAY kabisa, naomba uwajulishewawe watulivu nitarejea, Thanks in advance. Malisa GJ"
NOTE: Huyu ni yule great PARTNER in Critical Thinking. He is coming back, soon.
Mtatiro J.
Newer Posts Older Posts
© Copyright UCHAMBUZI LEO | Modified By Smart WEB
Back To Top Back To Top