Kocha Mkuu wa Yanga, Hans-van-der-Pluijm
KOCHA Mkuu wa Yanga, Hans van Pluijm amesema timu yake haijashuka kiwango kama ambavyo baadhi ya wadau wa soka wanavyodai na kuongeza kuwa muda si mrefu watarudi katika ubora
wao.
Baadhi ya wadau na wachambuzi wa soka kwa siku za karibuni wamekuwa wakitoa maoni yao kuwa Yanga imekwisha na wengine wakidai imechoka kutokana na wachezaji wengi kutopata muda wa kupumzika baada ya kutoka kwenye mashindano ya kimataifa.
Akizungumza na gazeti hili jana, Pluijm alisema muda sio mrefu watarudi tena na itadhihirika kama kweli wamechoka ama la.
“Sio kweli kama tumekwisha, tuko vizuri na muda sio mrefu mtaona mambo mazuri, tunaendelea kujipanga na kurekebisha mapungufu yetu kuhakikisha tunafanya vizuri,”alisema.
Yanga imetoka kulazimishwa sare ya bao 1-1 dhidi ya Simba katika mchezo uliochezwa kwenye uwanja wa Taifa, Dar es Salaam mwishoni mwa wiki iliyopita.
Matokeo hayo yameishusha kutoka nafasi ya tatu hadi ya tano ikiwa na pointi 11 sawa na Azam FC ambao wanashika nafasi ya sita, lakini Yanga ikiwa nyuma mchezo mmoja.
Timu zinazoongoza nne bora ni Simba yenye pointi 17, Stand United 15, Mtibwa Sugar 13 na Kagera Sugar yenye pointi 12.
Kikosi hicho kilianza mazoezi juzi jioni kwenye uwanja wa Polisi Kurasini kujiwinda katika mchezo ujao dhidi ya Ruvu Shooting.
Bado timu hiyo na Simba zimekuwa zikihangaika kutafuta viwanja vyao vya nyumbani, baada ya ule wa taifa kuzuiwa kuutumia kufuatia vurugu zilizojitokeza katika mchezo wao uliopita.
PICHA 5: Tingatinga Lilivyofukua mamilioni yaliyokuwa Yamefichwa ardhini bofya hapa
Waziri atolea maelezo taarifa ya serikali kuhakiki watumishi wanavyotumia mishahara yao bofya hapa
Waziri atolea maelezo taarifa ya serikali kuhakiki watumishi wanavyotumia mishahara yao bofya hapa
TCRA yakipa onyo kali kituo cha runinga cha Clouds, Yakifungia kwa
miezi 3 kipindi cha 'Take One' kwa kukiuka kanuni za utangazaji. bofya
hapa
Polisi Aliyerekodiwa Akipokea Rushwa Kuchukuliwa Hatua bofya hapa
Jeshi La Polisi Nchini Latoa Onyo Kali Kwa Wananchi Wanaojichukulia Sheria Mkononi. bofya hapa
Tanzania na Congo DRC zimesaini mkataba wa makubaliano kutafuta mafuta Ziwa Tanganyika bofya hapa
Mambo Muhimu Waliyoyajadili Rais Magufuli na Rais wa Congo DRC Joseph Kabila wakati wa mkutano na Waandishi wa Habari Ikulu bofya hapa
Like page yetu ya facebook upate habari kwa urahisi na haraka zaidi BOFYA HAPA
Polisi Aliyerekodiwa Akipokea Rushwa Kuchukuliwa Hatua bofya hapa
Jeshi La Polisi Nchini Latoa Onyo Kali Kwa Wananchi Wanaojichukulia Sheria Mkononi. bofya hapa
Tanzania na Congo DRC zimesaini mkataba wa makubaliano kutafuta mafuta Ziwa Tanganyika bofya hapa
Mambo Muhimu Waliyoyajadili Rais Magufuli na Rais wa Congo DRC Joseph Kabila wakati wa mkutano na Waandishi wa Habari Ikulu bofya hapa
Like page yetu ya facebook upate habari kwa urahisi na haraka zaidi BOFYA HAPA
Post a Comment
Toa maoni tu (kejeli na matusi marufuku)