Basi La Abiria Lateketea Kwa Moto Kimara Stop Over Jijini Dar, Mtu mmoja Afariki, 16 Wajeruhiwa


Basi lenye namba za usajili T990 AQF mali ya kampuni ya Safari Njema liililokuwa likitokea Dodoma kuja jijini Dar, jana liliteketea kwa Moto maeneo ya Kimara Stop Over-Suka, mara baada ya kugongana na Lori lililokuwa limebeba shehena ya mifuko ya Cement (namba zake za usajili hazikujulikana mara moja).

Imeelezwa kuwa mali zote zilikuwemo katika basi vimeteketea kabisa kwa moto.

Jeshi la Polisi limeeleza kuwa mtu mmoja amefariki Dunia katika ajali hiyo na wengine 16 wamejeruhiwa na baadae kukimbizwa Hospitali ya Taifa Muhimbili kwa matibabu.







Serikali Yatangaza Matokeo ya Mtihani Darasa la 7 mwaka 2016 Bofya hapa Kuyaona bofya hapa  

Like page yetu ya facebook upate habari kwa urahisi na haraka zaidi BOFYA HAPA




Post a Comment

Toa maoni tu (kejeli na matusi marufuku)

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright UCHAMBUZI LEO | Modified By Smart WEB
Back To Top Back To Top