Na Mwl Joseph b Maduka
🔹Mungu anaposema utakupa wa kufanana nawe, hakumaanisha atakupa mtu unayefanana rangi, kabila, umbile au kimo
.
🔹Bali alimaanisha atakupa mtu mtakayefanana naye Katika UTU WA NDANI (Kiwango cha Imani, Tabia, hobbies and interest - mambo mnayaopenda na msiyoyapenda, mtazamo wa maisha na KUSUDI la Mungu).
🔹 Kwa ufupi Mungu anataka kukupa rafiki yako ambaye mtashirikiana Katika YOTE utakayopitia Katika Maisha.
🔹MKe au Mume mwema anapaswa kuwa rafiki MWEMA, yaani mbali na kuwa mke /mume wako anapaswa kuwa rafiki yako, unayejisikia furaha kuwa naye, kumshirikisha mambo yako na unayemuamini toka ndani kabisa ya Moyo wako.
🔹Mambo sijui ya urefu, handsome, umbo namba 8, sex body hayo ni NYONGEZA Katika SIFA ya mke /mume. Yakiwepo Shukuru Mungu, yasipokuwepo mtukuze Mungu Katika hilo pia.
🔹Uamuzi wa kuoa /kuolewa ni swala la hekima sana.. Kama bado haujaweza kufanya Maamuzi haya bado wewe ni Mtoto HAIJALISHI una miaka mingapi, Subir Ukikua ndio ufanye MAAMUZI ya kuingia kwenye Ndoa.
" NI HERI MKATOFAUTIANA NJE MKAFANANA NDANI, KULIKO MFANANA NJE MKATOFAUTIANA NDANI "
MITHALI 31 :30
# MARRIAGE IS FOR ADULT WHO ARE WISE ENOUGH TO MAKE DECISIONS, AND NOT FOR ADOLESCENTS WHO ARE DRIVEN BY EMOTIONS.
🔹Mungu anaposema utakupa wa kufanana nawe, hakumaanisha atakupa mtu unayefanana rangi, kabila, umbile au kimo
.
🔹Bali alimaanisha atakupa mtu mtakayefanana naye Katika UTU WA NDANI (Kiwango cha Imani, Tabia, hobbies and interest - mambo mnayaopenda na msiyoyapenda, mtazamo wa maisha na KUSUDI la Mungu).
🔹 Kwa ufupi Mungu anataka kukupa rafiki yako ambaye mtashirikiana Katika YOTE utakayopitia Katika Maisha.
🔹MKe au Mume mwema anapaswa kuwa rafiki MWEMA, yaani mbali na kuwa mke /mume wako anapaswa kuwa rafiki yako, unayejisikia furaha kuwa naye, kumshirikisha mambo yako na unayemuamini toka ndani kabisa ya Moyo wako.
🔹Mambo sijui ya urefu, handsome, umbo namba 8, sex body hayo ni NYONGEZA Katika SIFA ya mke /mume. Yakiwepo Shukuru Mungu, yasipokuwepo mtukuze Mungu Katika hilo pia.
🔹Uamuzi wa kuoa /kuolewa ni swala la hekima sana.. Kama bado haujaweza kufanya Maamuzi haya bado wewe ni Mtoto HAIJALISHI una miaka mingapi, Subir Ukikua ndio ufanye MAAMUZI ya kuingia kwenye Ndoa.
" NI HERI MKATOFAUTIANA NJE MKAFANANA NDANI, KULIKO MFANANA NJE MKATOFAUTIANA NDANI "
MITHALI 31 :30
# MARRIAGE IS FOR ADULT WHO ARE WISE ENOUGH TO MAKE DECISIONS, AND NOT FOR ADOLESCENTS WHO ARE DRIVEN BY EMOTIONS.
Post a Comment
Toa maoni tu (kejeli na matusi marufuku)