Robert PJN Kaseko: Salaam Za Pongezi Kwa Rais Wangu John Pombe Magufuli.



Mh. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa dhati Kabisa kama Kijana & Kada mtiifu wa Chama Cha Mapinduzi ninaetambua juhudi/Jitihada zako unazozionyesha kila siku iitwapo leo za kuwaletea Maendeleo Wananchi wako napenda kukupongeza kwa Kutimiza Ahadi yako ya kufufua Shirika la Ndege la Taifa " ATCL" kwa kununua Ndege Mbili Mpya na leo tumepokea Ndege ya Pili.


Sasa Watanzania Wote wamejionea wenyewe na Ulimwengu umejionea wenyewe ya Kwamba Tanzania Mpya yaja.


Mheshimiwa Rais Hongera sana na Mungu akubariki, Akulinde na kukujaalia Afya njema ili ukatimize vyema Majukumu yako ya kuwatumikia Watanzania kwa Kuwaletea Maendeleo.


Robert PJN Kaseko
Mjumbe Baraza Kuu UVCCM Mkoa wa Arusha
September 27, 2016.
 

Post a Comment

Toa maoni tu (kejeli na matusi marufuku)

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright UCHAMBUZI LEO | Modified By Smart WEB
Back To Top Back To Top