Mwenyekiti wa klabu ya Yanga,Yusuph Manji leo hii ameungana na wadau wa soka kwa ajili ya ushiriKI wa kuaga mwili wa baba yake mlinda mlango wa klabu hiyo,Deogratius Munishi alimaarufu "DIDA"
Manji amejitokeza katika kanisa Katoliki Temeke Mikoroshini ambapo mwili wa Munishi Boniventura uliagwa na wadau wengi wa soka wakiwemo wa Yanga na Simba.
Makamu wa Raisi wa klabu ya Simba Geofrei Nyange Kaburu nae alikuwepo kwenye msiba huo sambamba na baadhi ya viongozi mbalimbali wa timu za ligi kuu ya Tanzania bara.
Nafasi zaidi za kazi bofya hapa
Ufafanuzi wa CHADEMA kuhusu taarifa ya kuahirishwa Operesheni UKUTA. bofya hapa
Profesa Lupumba,Magdalena Sakaya na Abdul Kambaya Wavuliwa Uanachama CUF Bofya hgapa
Post a Comment
Toa maoni tu (kejeli na matusi marufuku)