Azam wafuta uteja wao kwa Yanga katika mechi ya Ngao ya Jamii ambayo imechewa leo katika uwanja wa taifa, mpambano uliokuwa wa kuvutia na wa aina yake, Azam wamefanikiwa kupata ushindi
wa mabao 5-3 dhidi ya yanga.Mechi hiyo ililazimika kwenda penati baada ya kumalizika kwa 2-2 dakika 90, uchambuzi zaidi tutakuletea baadae
NEWS ALERT: MAKUBALIANO YA SIMBA NA MO KUHUSU MABADILIKO YA UENDESHAJI WA TIMU BOFYA HAPA
NEWS ALERT: MAKUBALIANO YA SIMBA NA MO KUHUSU MABADILIKO YA UENDESHAJI WA TIMU BOFYA HAPA
Maazimio ya mkutano wa viongozi wa Yanga waliokutana kwa dharura bofya hapa
Post a Comment
Toa maoni tu (kejeli na matusi marufuku)