Kundi la Boko Haram lagawanyika



Abubakar Shekau

Kiongozi anayepigwa vita wa kundi la Boko Haram amesema kuwa bado ndiye anayeliongoza kundi hilo licha ya taarifa ya kundi la Islamic State kwamba ameng'olewa
mamlakani.

Abubakar Shekau alipuuzilia mbali uamuzi wa IS kwamba Abu Musab al-Barnawi ndiye kiongozi mpya wa kundi hilo.

Shekau amemshtumu al_Barnawi kwa kujaribu kufanya mapinduzi dhidi yake.

Kundi la Boko Haram linapigania kuipindua serikali ya Nigeria ili kutangaza serikali ya Kiislamu katika eneo la kaskazini mwa taifa hilo.

Katika kipindi cha miezi 18 iliopita,kundi hilo limepoteza eneo kubwa lililokuwa likidhibiti baada ya kukabiliwa vilivyo na jeshi la Nigeria na majirani zake.

Post a Comment

Toa maoni tu (kejeli na matusi marufuku)

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright UCHAMBUZI LEO | Modified By Smart WEB
Back To Top Back To Top