Victor Wanyama ajiunga na Tottenham Hotspur

Victor Wanyama
Tottenham Hotspur imekubali kumsajili kiungo wa kati wa Southampton mkenya Victor Wanyama kwa kima cha pauni milioni 11.

Inaaminika kuwa wanyama mwenye umri wa miaka 24, ambaye alijiunga na Southampton akitokea Celtic mwezi Julai mwaka 2013 kwa pauni milioni 12.5, kwa sasa anafanyiwa uchunguzi wa kiafya.

Sasa wanyama ataungana na meneja wake wa zamani Maurico Pochettino.
 
 Magazeti leo Jumatatu June 20, 2016 bofya hapa

Vibonzo:Katuni tano bora zaidi leo Jumatatu June 20, 2016 Bofya hapa

Breaking News: Wabunge wa Upinzani Waziba Midomo yao Kwa Karatasi na Plasta na Kisha Kutoka Nje ya ukumbi wa bunge bofya hapa

 Like page yetu ya facebook upate habari kwa urahisi na haraka zaidi BOFYA HAPA


HABARI KUU LEO BOFYA HAPA
Newer Posts Older Posts
© Copyright UCHAMBUZI LEO | Modified By Smart WEB
Back To Top Back To Top