Muuaji wa Jo Cox ajigamba mahakamani

Thomas Mair
Thomas Mair, mtu aliyeshtakiwa kwa mauaji ya mbunge wa Uingereza amefikishwa mahakamani Central London.

Alipoambiwa aseme jina lake, mtu huyo mwenye umri wa miaka hamsini na
mbili alisema nikimnukuu ''jina langu ni kifo kwa wasaliti,uhuru kwa Uingereza''.

Mair pia ameshtakiwa kwa kumdhuru vibaya Cox,kupatikana na bunduki na silaha nyingine hatari.Marehemu Jo Cox
Marehemu Cox aliyekuwa akiwakilisha chama cha upinzani cha leba alipigwa risasi na kudungwa kisu katika eneo lake la uakilishi siku ya alhamisi.

Kifo chake kimesababisha kusitishwa kwa majuma kadhaa kampeini za kura ya maoini juu ya Uingereza kujiondoa katika uanachama wa muungano wa EU
HABARI KUU LEO BOFYA HAPA
Newer Posts Older Posts
© Copyright UCHAMBUZI LEO | Modified By Smart WEB
Back To Top Back To Top