DK.KONDO APONGEZA JITIHADA ZA SERIKALI YA AWAMU YA TANO KATIKA KUJENGA UMOJA.

Mjumbe wa Halmashauri Kuu Taifa (NEC) wa Chama Cha Mapinduzi Kanali Mstaafu Dkt. Haruni Kondo akizungumza na waandishi wa habari hawapo pichani juu ya<endela bofya kichwa cha habari hii juu> harakati ya Serikali ya awamu ya Tano ya Rais Dk. John Pombe Magufuli, katika jitihada alizofanya za kujenga nchi na kuleta maendeleo kwa watanzania bila kujali tofauti zetu za kiitikadi, rangi na jinsia watanzania hivyo tumuombe Mungu ampe afya nguvu ujasiri hekima na busara katika mkutano uliofanyika leo jijini Dar es Salaam.


Wndishi wa habari wakimsikiliza Mjumbe wa Halmashauri Kuu Taifa (NEC) wa Chama Cha Mapinduzi Kanali Mstaafu Dkt. Haruni Kondo leo jijini Dar es Salaam.
(Picha na Emmanuel Massaka, 

Post a Comment

Toa maoni tu (kejeli na matusi marufuku)

CodeNirvana
© Copyright UCHAMBUZI LEO | Modified By Smart WEB
Back To Top Back To Top