Majina Ya Wanafunzi Waliopata Mkopo Mwaka Wa Masomo 2016/2017----(Awamu ya Kwanza)




Bodi ya mikopo ya elimu ya juu wametangaza majina ya wanafunzi waliopata mkopo 2016/2017 awamu ya kwanza.


Hapa ni link ya kuangalia kama umepata au laah unaandika namba ya form 4 na code walizokupa hapo.

Kumbuka format ya form 4 no. ni s0001.0001.0001 na sio s0001/0001/0001

Link hii hapa http://olas.heslb.go.tz/index.php/allocation/allocations/fresher_login

Chini limeambatanishwa FILE la Orodha ya Waliopata Mkopo 2016/17



1.First List Of Loan Beneficiaries For Academic Year 2016/2017. << Click here>>




2.First Year Loan Allocations Breakdown for 2016/17 . <<Click here>>
 
 
 

Post a Comment

Toa maoni tu (kejeli na matusi marufuku)

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright UCHAMBUZI LEO | Modified By Smart WEB
Back To Top Back To Top