
Gael Clichy ndiye alianza kuifungia City dakika ya 49, likiwa ni goli lake la nne tangu aanze kucheza soka England na baadaye Aleix Garcia kuongeza la pili.
Swansea watajilaumu wenyewe baada ya kupoteza nafasi kufuatia umakini mdogo wa mchezaji wao Borja Baston, kabla ya Gylfi Sigurdsson ambaye aliingia kutokea benchi kufunga goli pekee ambalo hata hivyo halikuwa na msaada wowote.
Nahodha wa Ubelgiji Vincent Kompany alirejea kikosini baada ya kukosekana kwa takribani miezi mitano kutokana na kukabiliwa na majeraha.
Habari zilizopo katika Magazeti ya leo alhamis september 22, 2016 bofya hapa
Vibonzo:Katuni tano bora zaidi leo alhamisi september 22, 2016 bofya hapa
PICHA 12 NDANI NA NJE ZA NDEGE MPYA BOFYA HAPA
Vibonzo:Katuni tano bora zaidi leo alhamisi september 22, 2016 bofya hapa
PICHA 12 NDANI NA NJE ZA NDEGE MPYA BOFYA HAPA
Ndege mpya ya ATCL yatua nchini, utaratibu wa mapokezi rasmi wapangwa bofya hapa
Nafasi za kazi bofya hapa
Nafasi za kazi bofya hapa
Post a Comment
Toa maoni tu (kejeli na matusi marufuku)