Mabingwa watetezi wa Ligi ya England Leicester City wameanza msimu wa 2016/17 vibaya kwa kipigo cha ugenini vs Hull City.
Leicester wamefungwa 2-1, mabao ya Hull yakifungwa na Adama Diomande (46+2′) na Robert Snodgrass (55′).
Bao la kufutia machozi ya Leicester City lilifplungwa na Riyad Mahrez kupitia mkwaju wa penalti dakika ya 47.
Leicester City ndio mabingwa wa kwanza watetezi kushindwa kushinda mechi ya kwanza ya msimu uliofuata baada ya kutwaa ubingwa.
Matokeo mengine ya ligi kuu ya Uingereza
Ajira zaidi bofya hapa
Like page yetu ya facebook upate habari kwa urahisi na haraka zaidi BOFYA HAPA
Post a Comment
Toa maoni tu (kejeli na matusi marufuku)