Wanajeshi 5 wa Marekani wafa ajalini

Wanajeshi 5 wa Marekani wafa ajalini

Wanajeshi watano wa Marekani wamekufa baada ya gari walilokuwa wakisafiria kupinduka na kutumbukia mtoni mjini Texas.

Hata hivyo taarifa zinasema kuwa wanajeshi wengine wanne hawajulikani waliko.

Wanajeshi hao walikuwa katika mazoezi ya kijeshi wakitoka katika kambi ya kijeshi ya Fort Hood.

Mji wa Texas umekumbwa na hali ya radi na mafuriki katika siku za hivi karibuni,ambapo hii imekuwa ni ajali ya tatu kulikumba jeshi la Marekani siku ya alhamisi.

Post a Comment

Toa maoni tu (kejeli na matusi marufuku)

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright UCHAMBUZI LEO | Modified By Smart WEB
Back To Top Back To Top