Leo tarehe June 24, 2016, Wananchi wa Uingereza wameamua kujiondoa katika Umoja wa Nchi za Ulaya kupitia kura za maoni zilizopigwa jana.
Kila eneo la maisha ya Muingereza litaathirika kutokana na maamuzi haya ya wengi wa Waingereza. Na Upande wa michezo nao hauna usalama.

Sheria hii pia ipo sawa na kwenye upande wa soka la Uingereza. Kwa sheria za sasa zinazotoa vigezo vya wachezaji kutoka nje ya EU, inamhitaji mchezaji/wachezaji kucheza kiwango fulani cha mechi za kimataifa na timu za mataifa yao ili kuweza kupata kibali cha kucheza England, sheria hii inawabana wachezaji zaidi ya 100 wanaocheza katika ligi kuu ya England kwa sasa.


Kujiondoa kwa Uingereza kwenye Umoja wa Ulaya kumeketa majadiliano makubwa miongoni mwa wadau wa kila sekta na kwa hakika kwenye upande wa soka kutabadilisha mambo mengi.
“Kitachotokea itabidi mamlaka za michezo itabidi wake chini na kuangalia upya kanuni na sheria na kuamua kuendelea nazo au kubadili kuendana na mabadiliko yaliyopo na mataifa mengine ya ulaya, kwa mfano kutoa upendeleo kwa wafanyakazi kutoka mataifa mengine ya EU, au kuangalia sheria zilipo kama zinajitosheleza au inabidi zitengenezwe mpya kabisa?” Maria Patsalos, mmoja wa wahusika wa masuala ya uhamiaji alisema. “Ni vigumu tena kwa wafanyakazi kutoka mataifa mengine ya ulaya kuwa na uhuru kama uliokuwepo nchini Uingereza.”

Kushuka Thamani kwa Paundi na Soko la Usajili

Tusahau kuwaona Akina Fabregas wapya EPL
Sheria za sasa za UK zinakataza kwa vilabu kusajili mchezaji ambaye sio raia wa nchi za EU ambaye ana umri chini ya miaka 18. Kwa maana hiyo kujiondoa kwa UK ndani ya EU kutaondoa ile ruhusa za vilabu kuwasajili wachezaji walio chini ya umri unaoruhusiwa ambao sio raia wa Uingereza.

Breaking News: Orodha Ya Majina Ya Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga Na Kidato Cha Tano Na Vyuo Vya Ufundi Kwa Mwaka 2016 Bofya hapa
Habari zilizopo katika Magazeti ya Leo Ijumaa June 24, 2016 Bofya hapa
Habari zilizopo katika Magazeti ya Leo Ijumaa June 24, 2016 Bofya hapa
Magufuli: Rais Mstaafu Jakaya Kikwete Pumzika Kwa Amani, Wewe upo Salama, Usisikilize kelele za Nje Bofya hapa
Vibonzo Katuni tano bora zaidi leo Ijumaa June 24, 2016 Bofya hapa
Like page yetu ya facebook upate habari kwa urahisi na haraka zaidi BOFYA HAPA
Vibonzo Katuni tano bora zaidi leo Ijumaa June 24, 2016 Bofya hapa
Like page yetu ya facebook upate habari kwa urahisi na haraka zaidi BOFYA HAPA
HABARI KUU LEO BOFYA HAPA